Pages

Full Time ya Algeria Vs Taifa Stars

0 comments
 
Usiku wa November 17 watanzania wengi na wapenzi wa soka walikuwa wakisubiri kuona mchezo wa pili wa marudiano wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kati ya timu ya taifa ya Algeria dhidi ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars, mchezo ambao ulichezwa Blida Algeria katika uwanja wa Mustapha Tchaker.

‘Ufyatulianaji mkali’ wa risasi Paris

0 comments

Ufyatulianaji mkali wa risasi umetokea kaskazini mwa Paris katika mtaa wa Saint Denis na ripoti zinasema operesheni ya polisi kuhusiana na mashambulio ya Ijumaa inaendelea.
Maafisa kadha wa polisi wamejruhiwa, kituo cha runinga cha BFMTV cha Ufaransa kimeripoti.
Video iliyoonyeshwa na vituo vya televisheni vya BFMTV na iTele zimeonyesha watu walioshuhudia wakisema milio ya risasi ilianza kusikika saa kumi unusu alfajiri saa za Ufaransa.

Urusi yashambulia Islamic State

0 comments
Urusi imesema kuwa imetekeleza shambulio kali zaidi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria,ikiwa ni miongoni mwa mashambulizi yake ya hewani kufikia sasa.
Waziri wa ulinzi Sergei Shoigu,amethibitisha ripoti za Ufaransa na Marekani kwamba Moscow ilitumia mabomu ya masafa marefu na makombora .

Vatican yawakamata wawili kwa kuvujisha siri

0 comments
Papa Francis
Makao makuu ya Papa Vatican imesema watu wawili imewakamata watu wawili mmoja akiwa kasisi wa kanisa hilo na mwingine mfanyakazi wa zamani wa makao ya papa kwa tuhuma kuvujisha nyaraka siri za kanisa hilo.
Wawili hao walikuwa wajumbe wa tume iliyoundwa na Papa Francis kwa ajili ya jukumu kuleta mabadiliko katika mfumo wa kifedha wa kanisa katoliki.

Wachina kusubiri hadi Machi kupata watoto wawili

0 comments
Mamlaka ya upangaji uzazi imesema ni lazima sheria ifanyiwe marekebisho kwanza
Mamlaka kuu inayosimamia upangaji wa uzazi nchini Uchina imeonya wanandoa nchini humo kwamba sharti waendelee kutii agizo la kuwa na mtoto mmoja kwenye familia hadi sheria ifanyiwe marekebisho mwezi Machi.
Alhamisi wiki jana, serikali ilitangaza kwamba ingelegeza sheria na kuwaruhusu wanandoa kuzaa watoto wawili.
Ilisema uamuzi huo ulifanywa kutokana na ongezeko kiwango cha wazee ukilinganisha na vijana katika jamii na lengo ni kuimarisha uchumi.

Urusi:'Nguvu kutoka nje'ilisababisha ajali ya ndege

0 comments
Uchunguzi wa vinasa sauti za safari ya ndege unaendelea

''Nguvu kutoka nje'' ndio iliyosababisha ajali ya ndege iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 wengi wao raia wa Urusi.
Kogalymavia, Kampuni inayomiliki ndege hiyo ya Urusi imesema hakuna njia nyengine ya kuelezea ajali hiyo mbaya zaidi katika miaka ya hivi punde.
Katika mkutano na wanahabari jijini Moscow, afisa mmoja mkuu wa shirika hilo Kogalymavia alipinga madai kuwa ndege hiyo ilikuwa na hitilafu au makosa ya rubani.

Polisi 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

0 comments

Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri (CCTV) wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu
Gazeti mmoja la Afrika Kusini, Sunday Times lilichapisha video hiyo iliyowaonesha maafisa hao wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa wa uhalifu licha ya kuwa alikuwa amejisalimisha kwa polisi.
Afisa mwengine wa polisi anaonekana akimvurumishia mateke katika tuko hilo lililotokea katika barabara ya Krugersdorp city, Magharibi mwa Johannesburg

Amkimbia mume, aenda kuchumbiwa

0 comments
 Elizabeth Kinyami anayedaiwa kumtoroka mumewe.

Kwa mujibu wa chanzo chetu makini Robert alifiwa na mkewe wa kwanza ambaye alizaa naye watoto wawili, lakini wakati akiwa naye, alikuwa akichepuka na Elizabeth, hivyo baada ya mwenzake kutangulia mbele ya haki, alimchukua mchepuko wake na kuishi naye kinyumba.
Inadaiwa kuwa baada ya kuishi kama mke na mume kwa miaka miwili, msichana huyo alimwambia Robert kuwa amepata chuo cha kusoma mjini Tanga, ambapo mwanaume alikubali na kumsaidia ili aendelee na masomo

Kenya yaanzisha operesheni kuzima Alshabab

0 comments
Rais Kenyatta alimuagiza inspekta mkuu wa polisi kuendesha operesheni dhidi ya ugaidi

Operesheni hiyo inayoendeshwa na vikosi maalum vya kupambana na ugaidi kwa ushirikiano na jeshi la taifa linalenga wapiganaji takriban mia tatu wa Jeysh al Ayman wanaosadikika kujificha katika msitu huo. Kundi hilo la Jeysh al Ayman linasadikiwa kuwa na uhusiano na wapiganaji wa Al Shabaab

Mama Mpalestina aliyechomwa aaga dunia

0 comments

Mwanamke mmoja wa kipalestina amekufa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa shambulio mwezi Julai lililomuua mumewe na mtoto wao mdogo wa kiume.
Riham Dawabsha alikua anauguza majeraha ya kuungua kiasi cha asilimia tisini ya mwili wake aliyoyapata baada ya nyumba yao kupigwa na mabomu ya moto katika kijiji cha Duma kilichopo katika ukingo wa magharibi .
Shambulio hilo linaaminiwa kufanywa na walowezi wa kiyahudi

Ujerumani na ongezeko la wahamiaji

0 comments
Polisi wa Ujerumani akizungumza na wahamiaji
Serikali ya Ujerumani imetangaza hatua kadhaa zitakazotumiwa kuisaidia kukabiliana na ongezeko la wahamiaji
Miongoni mwa hatua hizo, ni kutoa kiasi cha fedha dola bilioni tatu kusaidia serikali za majimbo na manispaa.
Pia imeamua kuharakisha mchakato wa kupitia maombi ya wanaotaka hifadhi, kutoa nyumba na kutenga

SEARCH CHOCHOTE HAPA

CLOCK

soundcloud

Subscribe all latest updates via Facebook

CHAGUA LUGHA YAKO

DOWNLOA NEW SONG



Seif-@Tv

LIKE US ON FACEBOOK

SOMA HABARI KWA MIEZI

Latest News

JIUNGE NASI KUPITIA HAPA

WAGENI WANAOTEMBELEA

Flag Counter

KUHUSU MMILIKI WA BLOG

MKALI KTK POZI,,,!!!

MKALI KTK POZI,,,!!!
Hi Guyz...!!! iz me seiph love jonas,,,wa kitaa...

WASANII DUNIANI

  • SAM WA KITAA

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-2 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-3 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-4 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE
  • HEADING-5 GOES HERE

    DESCRIPTION GOES HERE