Showing posts with label MUSIC. Show all posts
Showing posts with label MUSIC. Show all posts
Labels:
BURUDANI,
MUSIC
Ngoma Ya “Put It Up” Ya Chriss Brown Ilitakiwa Iwepo Kwenye “X”
Baada ya kuachia “Birthday Cake” na “No Body”, Chriss Brown na Rihanna
waliachana na ilidhaniwa hakuna ngoma nyingine kutoka wawili hao ambao
the broke the internet siku za nyuma, wakati bado tunafikiria bishara
yao ilishaisha lakini kupitia mitandao imetoka ngoma nyingine ambayo
imewahusisha wawili
Labels:
BURUDANI,
MUSIC
DOWNLOAD DAYNA FT NAY WAMITEGO - NITULIZE - MP3.
![]() |
| DAYNA FT NAY WAMITEGO - NITULIZE |
LISTEN & DOWNLOAD
Labels:
BURUDANI,
JAMII,
MUSIC,
WALIJUA HILI..?
»KTMA: Sasa wananchi wanaweza kutumia WHATSAPP kupendekeza majina ya watakaowania tuzo za KTMA
Leo hii Kilimanjaro Tanzania Music Awards KTMA, wameanza na kampeni ya wananchi kuanza kupendekeza majina ya nyimbo na wasanii wanaostahili kuingia katika kinyang'anyiro.unaweza kumpendekeza msanii/kikundi/video mara moja
Labels:
BURUDANI,
JAMII,
MUSIC
Brand New Single: Chidi Benz feat Doiamond na AY
Baada ya kupotea kabisa kwenye game, Chidi Benz amerudi kwenye game na ngoma mpya akiwa na Diamond na AY
Ngoma inaitwa "Mpaka Kuchee" na beat imetengenezwa na Dully Sykes huku mixing kumaliziwa na Tuddi Thomas
Labels:
BREAKING NEWS,
BURUDANI,
MUSIC,
WALIJUA HILI..?
ni video yenye mvuto na imetengenezwa vizuri sana, tumpe sapot jamaa yetu.
Diamond Platnumz - Mdogo Mdogo (Video Teaser)
ni video yenye mvuto na imetengenezwa vizuri sana, tumpe sapot jamaa yetu.
Labels:
BURUDANI,
JAMII,
MUSIC
Video: Wale wale remix - Kala Jeremiah feat Juma Nature, Young Killer na Nay Lee
Baada ya kuona anahitaji kuuongezea nyama nyama wimbo "Wale wale" aliofanya na Nay Lee, Kala Jeremiah amedondosha audio na video ya remix ya wimbo huo akiwa na Juma Nature, Ney Lee na Young Killer.
"Nimeamua kuwaweka hawa kwasabbau ya kuwapa mashabiki wa rika mbali mbali ladha tofaui ndio maana kuna Nature, mimi, Nay Lee na mwisho nikamuweka Young Killer." Amesema Kala
Labels:
BURUDANI,
JAMII,
MUSIC
Video: Mr. Blue, Dyna, Barnaba Boy na Amini warekodi wimbo wa kampeni ya dereva makini 2014

Ni ukweli usiopingika kuwa ajali zimekuwa ni mwiba mchungu kwa familia, jamii na taifa kwa ujumla unaoacha kilio, walemavu, yatima, wajane na wagane kila kukicha.
Katika kuunga mkono jitihada za kupunguza ajali barabarani wakali katika muziki wa bongo fleva Mr Blue, Amini, Barnaba Boy na Dyna Nyange wameshiriki kurekodi wimbo wao utakaotumika kwenye kampeni ya dereva makini inayolenga kuhamasisha uzingatiaji wa usalama barabarani na kwenye vyombo vya usafiri. Wimbo huo umerekodiwa na mtayarishaji wa muziki C9.
Subscribe to:
Posts (Atom)










