![]() |
| Polisi wa Ujerumani akizungumza na wahamiaji |
Serikali ya Ujerumani imetangaza hatua kadhaa zitakazotumiwa kuisaidia kukabiliana na ongezeko la wahamiaji
Miongoni mwa hatua hizo, ni kutoa kiasi cha fedha dola bilioni tatu kusaidia serikali za majimbo na manispaa.
Pia
imeamua kuharakisha mchakato wa kupitia maombi ya wanaotaka hifadhi,
kutoa nyumba na kutenga
fedha kwa ajili ya kulipa marupurupu kwa wageni.
fedha kwa ajili ya kulipa marupurupu kwa wageni.
Tangazo hilo limetolewa baada ya mkutano wa uliodumu kwa saa tano baina ya chansela, Angela Merkel, na washirika wake.
Takriban
wahamiaji wapatao elfu kumi na nane wanakadiriwa kuingia nchini
Uingereza mwisho mwa juma kufuatia makubaliano na Austria na Hungary
kulegeza sheria za wanaoomba hifadhi.


0 comments:
Post a Comment